Siha Na Maumbile: Suruali za kubana kwa wanaume ni hatari
Audio By Vocalize
Mitindo mbalimbali ya mavazi haswa ya ughaibuni inaonekana kuigwa sana na vijana. Hata hivyo wasilojua wengi wao ni kwamba kila kinachoingia mjini si cha kuigwa, moja wapo ya mitindi hiyo ikiwa ni suari za kubana ambazo zimeoneka kuwa madhara mengi ya kiafya haswa kwa wanaoishi katika maeneo yenye joto. Katika siha maumbile hii leo tunamulika jiji la daresalam ambapo mwanahanari wetu Samuel Mwalongo anatupasha athari za mawavazi hayo ikingatiwa kwamba jiji hilo lina vyawango vya juu vya joto.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!