Siha Na Maumbile: Suruali za kubana kwa wanaume ni hatari

cotewa
By cotewa August 12, 2016 12:34 (EAT)
Siha Na Maumbile: Suruali za kubana kwa wanaume ni hatari
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Mitindo mbalimbali ya mavazi haswa ya ughaibuni inaonekana kuigwa sana na vijana. Hata hivyo wasilojua wengi wao ni kwamba kila kinachoingia mjini si cha kuigwa, moja wapo ya mitindi hiyo ikiwa ni suari za kubana ambazo zimeoneka kuwa madhara mengi ya kiafya haswa kwa wanaoishi katika maeneo yenye joto. Katika siha maumbile hii leo tunamulika jiji la daresalam ambapo mwanahanari wetu Samuel Mwalongo anatupasha athari za mawavazi hayo ikingatiwa kwamba jiji hilo lina vyawango vya juu vya joto.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!