Afisa wa polisi wa kitengo cha diplomasia afikishwa kortini
Published on: January 05, 2017 09:52 (EAT)
Polisi mmoja wa diplomasia ameshtakiwa mahakamani kwa madai ya mauaji ya mfanyibiashara wa umri wa miaka arobaini. Mwanahabari wetu Denis Otieno anatufafanulia zaidi kuhusu taarifa hii na nyinginezo kutoka mahakamani.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment