Afisa wa KDF aliyeuawa Somalia azikwa
Published on: February 05, 2017 09:14 (EAT)
Serikali imeombwa kusimama imara katika vita dhidi ya magaidi wa ali shabab kule somalia. Matamshi haya yametolewa katika ibada ya mazishi ya mmoja wa maafisa wa kdf aliyeuawa wakati wa shambulizi la kigaidi lililotokea kule kulbiyow, Somalia.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment