Al Ghurair yamaliza kuchapisha karatasi milioni 20.4 za kura
Published on: October 19, 2017 08:10 (EAT)
Kampuni ya Al Ghurair jijini Dubai imekamilisha shughuli ya uchapishaji wa karatasi za kupigia kura zaidi ya milioni 20 za uchaguzi wa urais wa wiki ijayo. Licha ya upinzani kupinga kutekelezwa kwa kandarasi hiyo na kampuni hiyo, tume ya IEBC inasema imezingatia mbinu mpya za kuhakikisha usalama wa mchakato wa uchaguzi huku fomu zingine tatu zikichapishwa kufuatilia shughuli za Alhamisi ijayo na hata baadaye.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment