Baadhi ya dawa za kukohowa zatumika kama vileo
Published on: January 09, 2018 08:15 (EAT)
Imeibuka kuwa mtindo mpya wa vijana kununua dawa ya kukohoa kwa ili minajili ya kujilewesha hatimaye huenda ikapata suluhu. Hii ni baada ya bodi ya famasia na sumu kuagiza maduka yote ya kuuza dawa kutouza dawa yoyote iliyo na kemikali ya codeine bila agizo la daktari.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment