Baadhi ya viongozi wa Ukambani wajiunga na Jubilee
Published on: September 09, 2017 08:42 (EAT)
Baadhi ya viongozi wa Ukambani hii leo wametangaza rasmi kuwa watamuunga mkono Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa tarehe 17 mwezi Oktoba. Wakiongozwa na mfanyibiashara Peter Muthoka, na wanasiasa David Musila, Gideon Ndambuki na Kiema Kilonzo kundi hilo limesisitiza kuwa litaongoza kampeni za chama cha Jubilee katika eneo hilo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment