Babu Owino akamatwa tena baada ya kuachiliwa kwa dhamana

Mbunge wa Embakasi Mashariki Paul Ongili maarufu babu owino amekamatwa upya muda mfupi baada ya kuachiliwa kwa dhamana na mahakama ya Milimani. Owino amekamatwa nje ya majengo ya mahakama hiyo baada ya kuachiliwa kwa dhamana kwa mashtaka ya kuidhalilisha afisi ya rais na kumtusi rais.

Makori Ongechi anatupasha zaidi…

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories