Bado kuna utata kuhusu uteuzi wa ODM

Wagombea walioshindwa katika mchujo wa chama cha odm hii leo wameendeleza vikao na bodi iliyobuniwa na chama hicho kutatua mzozo unaozunguka kushindwa kwao. Na kama anavyotuarifu mwandishi wetu stephen letoo, wabunge kama vile jakoyo midiwo huenda wakajipata pabaya katika uchaguzi mkuu ujao..

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories