Baraza La Wajumbe Wa ODM Laidhinishwa

Chama cha ODM huenda kisiifanyie mabadiliko yoyote orodha ya maafisa waliopendekezwa majuma mawili yaliyopita, na kuonekana kuibua mtafaruku mpya. Kamati kuu iliyoorodheshwa kukiongoza chama cha Chungwa na kuziba nyufa chamani imeanza kuchapa kazi, huku ikitarajia kuidhinishwa na baraza kuu la chama katika kikao cha ijumaa wiki hii. Francis Gachuri ana taarifa kamili.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories