BM Gichaga afariki
Published on: December 15, 2016 09:39 (EAT)
Familia ya Rais Uhuru Kenyatta inaomboleza kifo cha maremu Bethwel Mareka Gecaga aliyefariki na umri wa miaka tisini na miwili, huku mahakama ikiamuru kuwa Kerugoya inabakia makao makuu ya kaunti ya Kirinyaga.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment