Bunge la Afrika Mashariki

Naibu Rais William Ruto amejitosa kwenye mjadala kuhusu wanaopendekezwa kuwa wabunge wa bunge la jumuia ya Afrika Mashariki na kuwakashifu viongozi wa upinzani kwa kuwateua jamaa zao. Hii ni baada ya chama cha wiper kumteuamwanawe Kalonzo Musyoka, Kennedy Kalonzo. Hata hivyo chama cha wiper kimetetea uteuzi huo na kusema kuwa kennedy aliibuka na alama za juu zaidi kati ya watu saba waliotuma maombi wakitaka kuteuliwa na chama hicho.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories