DOKEZO LA AFYA | Homa ya Chikungunya
Published on: January 11, 2018 08:12 (EAT)
Kuna ugonjwa ambao umeangaziwa mno na vyombo habari baada ya kuzua hofu eneo la pwani kufuatia maafa. Kufikia sasa wizara ya afya ikithibiditisha zaidi ya vifo 30 vilivyotokana na ugonjwa huo unaojulikana kama chikungunya. Ili kuulewa zaidi ugonjwa huo Nilizungumza na Daktari Salim Ali Hussein aliyenipa ufanunuzi katika dokezo la afya linalofuata sasa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment