Familia moja kutoka Kirinyaga yafurushwa makao
Published on: September 11, 2016 09:37 (EAT)
Familia moja kutoka eneo la Difathas kaunti ya Kirinyaga inalilia haki baada yao kufurushwa kutoka kwenye makao yao na genge la watu wasiopungua 10 na huko Kisumu polisi wameanzisha uchunguzi kufuatia kuchomwa moto kwa nyumba ya mbunge wa Nyakach, Aduma Oduor.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment