Familia ya watoto waliouwawa yaongea
Published on: May 22, 2017 08:07 (EAT)
Mauaji ya watoto watatu waliouawa katika eneo la kaspoya kaunti ya uasin gishu yamewaacha wengi vinywa wazi huku mshukiwa mkuu ambaye ni mjomba wao akitarajiwa kufikishwa mahakamani hapo kesho. Mama yao amesalia na kilio cha haki itendeke huku familia yake ikijiuliza ni kipi walichokosea watoto hao kupitia udhalimu wa aina hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment