Francis Gachuri na Jane Gatwiri wa NTV washambuliwa
Published on: October 31, 2017 08:18 (EAT)
Mwanahabari wa runinga ya Citizen Francis Gachuri na mpiga picha wa runinga ya NTV Jane Gatwiri wamedhulumiwa na watu wasiojulikana katika makao makuu ya chama cha Wiper hapa jijini, Nairobi. Kinara wa NASA Raila Odinga hata hivyo ameomba msamaha kutokana na tukio hilo akisema kuwa swala hilo lilikuwa la kuvunja moyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment