Gachagua: Mipango ya maziko

Mwili wa aliyekuwa Gavana wa Nyeri Nderitu Gachagua utafika humu nchini siku ya Alhamisi asubuhi, haya ni kulingana na familia. Katika mkutano uliondaliwa kwa boma la gavana huyo, familia imesema kwamba itaendelea kuwa na mikutano hapa jijini Nairobi na Nyeri ya kupanga siku ya mazishi.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories