Ghasia zafunika maandamano ya NASA dhidi ya IEBC

Wafuasi wa muungano wa upinzani wa Nasa wameandamana leo hapa Nairobi na katika miji ya Kisumu na Mombasa wakitaka kujiuzulu baadhi ya maafisa wa IEBC akiwemo Ezra Chiloba. Hapa Nairobi maandamano hayo yaligubikwa na fujo huku polisi wakitumia vitoa machozi kuwatawanya waandamanaji. 

Nusra vita vizuke baada ya wafuasi wa Jubilee pia kujitokeza katika makao makuu ya IEBC.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories