Gladwel Wairimu hutunza maiti Voi

Katika ulimwengu wa sasa ambapo ajira zimekuwa adimu, kila mmoja hufanya bidii masomoni angalau kuajiriwa ili kuyakithi maisha yake. Katika mji wa Voi kaunti ya Taita Taveta mwanamke mmoja kwa jina Gladwel Wairimu ameshangaza wengi baada ya kuajiriwa katika chumba cha kuhifadhia maiti, kazi ambayo watu wengi huiogopa.

Tags:

voi Gladwel Wairimu undertaker Voi morgue

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories