‘Hesabu haziingiani,’ Martha Karua says as she hints at heading to East African Court

‘Hesabu haziingiani,’ Martha Karua says as she hints at heading to East African Court

Raila odinga's running mate in the 2022 presidential race, Martha Karua, during a past campaign rally. PHOTO | COURTESY

Narc-Kenya party leader Martha Karua, who was former premier Raila odinga's running mate in the 2022 State House race, maintains that she is not in agreement with the Supreme Court judgment that upheld President-elect William Ruto’s win at the August polls.

Karua, speaking at her Kimunye home in Kirinyaga County on Saturday, said she is pondering taking her grievances to the East African Court of Justice, purely to seek further interpretation of the 7-judge bench’s ruling.

According to her, a lot of events surrounding the 2022 presidential election do not make sense to her, hence stating that she is yet to fully accept that they were actually beaten at the polls fair and square.

“Nairobi ambayo inatajwa ni yao, ndio gavana ni wao, lakini majority of MCAs ni Azimio…kura nyingi za Nairobi za President zilikuwa ni Azimio…hiyo mahesabu haziingiani. Kwa hivyo siwezi nikaamini tulishindwa, lakini kwa sababu korti imetoa amri, Kenya iendelee kulingana na vile korti iliona. Hiyo ndio rule of law na democracy,” she stated.

“Lakini kuvunjika kwa mwiko sio mwisho wa upishi…hakuna mahali ingine tunaweza kuenda kubishana kiti ya urais, lakini tunaweza peleka mahali pengine ndio tuelewe kweli korti yetu ilitupatia haki. Sasa sio mambo ya uchaguzi, mambo ya haki, vile nilienda wakati ule mwingine.”

She added: “Kwa vile korti ilisema tuko na hot air…hot air balloon inaweza nipeleka East Africa…I am actually considering whether to travel on a hot air balloon to the East African Court just to discuss that judgment. Hii si maono ya Azimio, now it’s me as a Kenyan because also I’m entitled, as an individual, so it’s something I’m considering.”

She however noted that, for the time being, they – Azimio – will have to live and contend with the Supreme Court judgment, adding that she is proceeding on a political sabbatical.

This as she waits for the comprehensive judgment from the apex court’s 7 judges, which is set to be released within 21 days after the date of the presidential petition ruling.

“For now, because I have time, I will take a break…and also because korti ilisema baada ya siku 21 wataleta sababu zao za ile maono walitoa…nangojea hizo sababu,” she said.

“Lakini hiyo ya uamuzi hatukukubaliana kamwe, tutauheshimu, lakini hatutakubaliana na sababu zetu…wacha korti itoe sababu zake, nitoe zangu nipeleke kwengine.”

Tags:

Martha Karua Supreme Court Azimio East African Court of Justice

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories