Hospitali za binafsi zadinda kuchukua kadi za NHIF

Baadhi ya wagonjwa wanaogharamia matibabu kwa kutumia kadi ya  bima ya matibabu maarufu kama NHIF wanalalama sasa wanahitajika kulipa pesa taslimu kwa sababu NHIF haijalipa hospitali husika.  NHIF kwa upande wake wanasema wanafanya mikakati ya kuhakikisha kwamba mradi huo hautumiwi vibaya na walaghai. Faiza Maganga anatupasha.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories