Huduma ya kutuma pesa kupitia simu kwa mitandao tofauti yalainishwa

Serikali kwa ushirikiano na kampuni za huduma za simu imezindua mpango utakaowezesha wateja kutuma na kupokea pesa kupitia mitandao ya kampuni zote za simu. Kinyume na hali ilivyo hivi sasa mpango huo utarahisha utumaji pesa, sawa na kupunguza gharama ya kupokea na kutuma pesa.

Tags:

Safaricom Airtel mpesa Telkom Mobile Money transfers

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories