Ibada ya wafu kwa Biwott yafanyika Nairobi

Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Ibada ya wafu ya aliyekuwa waziri mwenye ushawishi mkubwa Nicholas Biwott ilifanyika hii leo katika kanisa la AIC Milimani. Marehemu Biwott atazikwa nyumbani kwake kijiji cha Tot kata ya Chebior kaunti ya Elgeyo Markwet siku ya Alhamisi.

Tags:

Nicholas Biwott

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.