IEBC: Hatuongezi muda wa kuwasajili wapigakura

Umesalia na takriban siku tatu tu! iwapo bado hujasajiliwa kuwa mpigakura, mwenyekiti wa tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC Wafula Chebukati amesema kwamba shughuli za usajili wa wapigakura itafungwa rasmi tarehe 14 Februari. Lakini kama anavyotueleza mwanahabari wetu Hassan Farah, huenda muda ukaongezwa kwani katiba imeelezea kuwa zoezi la kusajiliwa kwa wapiga kura linafaa kuendelea hadi siku tisini kabla ya siku ya uchaguzi mkuu.

Tags:

IEBC Wafula Chebukati Usajili wa wapigakura

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories