IEBC yapuuzilia mbali vitisho vya Nasa

Tume ya uchaguzi nchini iebc imesema haitaondoa rufaa mahakamani inayopinga uamuzi wa mahakama kuu kuwa matokeo ya uchaguzi katika maeneo bunge yatakuwa ya mwisho. Muungano wa nasa hapo jana walitishia kutoshiriki katika uchaguzi mkuu iwapo iebc itaendelea na kesi hiyo.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories