IEBC yaridhika na uamuzi wa mahakama ya rufaa kuhusu kura za urais
Published on: June 24, 2017 09:23 (EAT)
Tume ya uchaguzi nchini-IEBC haitapinga uamuzi wa mahakama ya rufaa, kuwa matokeo ya urais yatakayotangazwa katika maeneo bunge ni ya mwisho na hayawezi kubadilishwa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment