Jaji Ibrahim augua

Siku ya pili ya kusikizwa kwa kesi ya upinzani inayopinga ushindi wa Rais Kenyatta kwenye uchaguzi mkuu wa Agosti 8, jopo la majaji wa mahakama ya kilele linaonekana kuwa na upungufu. Kati ya Majaji 7 wa mahakama hiyo, ni majaji sita pekee walioonekana leo kinyume na ilivyokuwa hapo jana. Ni jaji yupi hakuweko na hilo lina taathira gani ya kisheria katika mchakato mzima wa kusikizwa kwa kesi hii?

Tags:

supreme court david maraga PRESIDENTIAL PETITION Mohamed Ibrahim

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories