Jaji Maraga ahudhuria ibada katika kanisa la SDA Milimani
Published on: September 02, 2017 08:44 (EAT)
Jaji mkuu David Maraga sasa yupo miongoni mwa watu wanaotajika kuanzia jana kutokana na uamuzi aliotoa pamoja na majaji wenzake wa mahakama ya juu. Na hii leo runinga ya Citizen ilikutana naye akifanya ibada katika kanisa la Seventh Day Adventist kama ilivyo desturi yake .
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment