Joho, Omar, Mwaboza, Awiti na shahbal kumenyana
Published on: October 02, 2016 09:49 (EAT)
Wanasiasa watano kufikia sasa wameeleza nia yao ya kuwania kitia cha ugavana katika kaunti ya Mombasa mwaka ujao. Ingawa Gavana Joho anaonekana makini kuhifadhi nafasi yake, itambidi kumenyana na wengine wanne akiwemo Seneta Hassan Omar, hasimu wake wa kisiasa Suleiman Shahbal, mbunge wa zamani wa kisauni Anania Mwaboza na mbunge wa sasa wa nyali Hezron Awiti.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment