Jubilee wakashifu NASA kwa vitisho vya kususia uchaguzi

Chama cha Jubilee imekashifu muungano wa upinzani Nasa kutokana na matamshi kwamba hawatoshiriki kwenye uchaguzi iwapo mabadiliko hayatafanyika katika tume huru ya uchaguzi na mipaka. Katibu mkuu wa chama cha Jubilee Raphael Tuju amewataka Nasa kuandikia rasmi IEBC kuwafahamisha kuwa hawatashiriki kwenye marudio ya uchaguzi ili kuondolea taifa mzigo.

Tags:

IEBC JUBILEE NASA

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories