Jubilee wakashifu NASA kwa vitisho vya kususia uchaguzi
Published on: September 14, 2017 08:42 (EAT)
Chama cha Jubilee imekashifu muungano wa upinzani Nasa kutokana na matamshi kwamba hawatoshiriki kwenye uchaguzi iwapo mabadiliko hayatafanyika katika tume huru ya uchaguzi na mipaka. Katibu mkuu wa chama cha Jubilee Raphael Tuju amewataka Nasa kuandikia rasmi IEBC kuwafahamisha kuwa hawatashiriki kwenye marudio ya uchaguzi ili kuondolea taifa mzigo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment