Jubilee wapanga kubuni kamati hata NASA wakikataa

Bunge la kitaifa limepitisha orodha ya majina ya wabunge walioteuliwa kujiunga na kamati mbili za umuhimu ili kuwezesha bunge hilo kuendelea na shughuli zake kama kawaida. Pande zote mbili zimeteua wabunge watakaojiunga na kamati ya uteuzi pamoja na kamati ya shughuli za bunge. Hata hivyo Nasa wamesusia kuwateua wabunge kuwa katika kamati ya kuwachunguza mawaziri.

Tags:

JUBILEE Aden Duale NASA John Mbadi justin muturi

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories