Juhudi za kurejesha usalama bonde la ufa
Published on: December 03, 2017 08:26 (EAT)
Huku visa vya ukosefu wa usalama vikiendelea kuwa donda ndugu baina ya jamii za wapokot na waturkana, wachambuzi wanawanyooshea kidole cha lawama baadhi ya viongozi wa jamii hizo ambao wanadai hunufaika kutokana na wizi wa mifugo; jambo linalosababisha jamii mbili hizo kuhasimiana mara kwa mara.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment