Justin Muturi kutetea kiti cha spika wa bunge la taifa

Makarani wa bunge la kitaifa na seneti hii leo wamechapisha rasmi majina ya wale walioomba kazi ya kuwa spika bungeni akiwemo spika wa bunge la 11 Justin Muturi. Hayo yanajiri huku wabunge wapya waliochaguliwa wakifanyiwa mafunzo ya bunge kabla ya kuapishwa siku ya Alhamisi.

Tags:

John Waluke justin muturi National Assembly Speaker

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories