Kamati ya bunge yakamilisha kupokea maoni ya umma

Kamati maalum ya bunge inayotathmini mabadiliko yanayopendekezwa kwenye sheria za uchaguzi imeanza mikakati ya kuandaa ripoti, baada ya kupokea maoni kutoka kwa wadau na wananchi kwa jumla. Makamishna wa tume ya uchaguzi-IEBC jana usiku waliwasilisha hoja zao, na kuunga mkono mengi ya marekebisho yanayopigiwa debe.

Tags:

amendments to Election Laws

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories