Kamati ya bunge yapokea maoni ya umma kuhusu marekebisho ya sheria za uchaguzi

Kamati ya pamoja ya bunge imeanza kupokea maoni kutoka kwa wananchi na wadau mbali mbali, kuhusu mapendekezo ya kuzifanyia mabadiliko sheria za uchaguzi, kabla ya mchuano mpya wa urais mwezi ujao. Ingawa baadhi ya waliojitokeza leo waliunga mkono mapendekezo hayo, wengine walitilia shaka kiini na nia ya mabadiliko hayo. Aidha, muungano wa NASA umevitaja vikao vya kamati hiyo kama shughuli za Jubilee, zinazokiuka sheria za bunge na katiba.

Tags:

IEBC JUBILEE NASA William Cheptumo Fatuma Dullo Elections Law Amendment bill

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories