Kashfa Ya “Kuku”

Waziri wa kawi Davis Chirchir na aliyekuwa mkurugenzi wa KNEC Paul Wasanga wamehojiwa na tume ya maadili na kupambana na ufisadi kuhusiana na sakata ya kuku.  Wawili hao ambao wanadaiwa kupokea hongo kutoka kwa kampuni ya uingereza ya Smith and Ouzman ili kuipa kampuni hiyo kandarasi wamekanusha kuhusika katika sakata hiyo.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories