Kaunti ya Nairobi yaondoa baadhi ya ushuru
Published on: October 01, 2017 08:51 (EAT)
Serikali ya kaunti ya Nairobi imefutilia mbali malipo na kodi tofauti kwa wafanyabiashara wadogo wadogo katika kaunti ya Nairobi. Kwa mujibu wa barua iliyoandikwa na naibu gavana wa Nairobi Polycarp Igathe, amri hiyo ilipaswa kutekelezwa kuanzia tarehe 14 mwezi uliopita.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment