Kaunti ya Trans Nzoia yalaumiwa kwa mapendeleo

Kufuatia ubaguzi wa ajira katika bunge la kaunti ya Trans Nzoia ambapo wawakilishi wa wadi wameajiri asilimia kubwa ya wafanyikazi kutoka jamii zao katika bunge hilo, mashirika ya kijamii katika kaunti hiyo wanawata wawakilishi hao kujiuzulu kwa kukiuka kifungu cha sita cha katiba kuhusu maadili. Kama anavyoarifu mwanahabari wetu Collins Shitiabayi tume ya maadili na kupambana na ufisadi humu nchini tayari imelimevalia njuga swala hilo.

Tags:

Trans Nzoia County. ajira Mapendeleo uajiri

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories