Kaunti ya Uasin Gishu kuajiri maafisa wapya

Taifa hili linakodolea macho kutumia kima cha shilingi bilioni moja nukta nne kila mwaka kuwalipa maafisa watakaoajiriwa na wawakilishi wa wadi katika kama wasaidizi wao kote nchini.
Bodi za kaunti zinatarajiwa kuwaajiria mca wote waliochaguliwa, karani, wasaidizi na walinzi kwa jumla ya shilingi sitini kila mwezi.

Tags:

Uasin Gishu Jackson Mandago

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories