Kaunti zalaumiwa kwa kufuja pesa za umma

Ripoti za matumizi ya fedha za kaunti zinaonyesha kufujwa kwa mamilioni ya pesa na serikali na mabunge ya kaunti. Ripoti iliyotolewa na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kuhusu matumizi ya fedha katika mwaka wa fedha uliomalizika juni mwaka 2016 inaonesha uozo huo.

Tags:

Auditor General Mombasa County.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories