KDF: Maafisa 9 waliuawa na 15 wakajeruhiwa
Published on: January 28, 2017 08:52 (EAT)
Kiongozi wa ODM Raila Odinga sasa anadai kuwa idadi ya waliofariki katika shambulio la kambi ya kijeshi iliyoko Kolbiyow nchini Somalia ni zaidi ya inavyokiri KDF. Akitoa rambirambi zake kwa waliofariki, Raila ametaja shambulizi hilo kama la kipumbavu. Haya yanajiri huku inspekta jenerali wa polisi akikanusha madai kuhusu habari inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Al Shabaab wanapanga kushambulia taasisi za masomo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment