KEMRI yasema ugonjwa wa Marburg haujaingia nchini

Wizara ya afya katika kaunti ya Trans Nzoia imewataka wakazi wa eneo hilo kutokuwa na wasiwasi kuhusiana na virusi vya Marburg ikisema kuwa chembechembe za mgonjwa aliyeshukiwa kuwa na maradhi hayo zinaonyesha kuwa hana virusi hivyo. Hii ni katika hali ambayo taasisi ya utafiti wa tiba, KEMRI pia imesema hakuna virusi vya marburg nchini.

Tags:

KEMRI marburg

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories