Kero la Saratani ya mlango wa kizazi Migori

Ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi ni moja kati ya magonjwa
yanayowaua kina mama wengi ulimwenguni. Ugonjwa huu umeenea sana katika kaunti ya Migori, hasa kwa wale wanaoishi mashambani na kuwasabababishia machungu zaidi kwani licha ya kuishi maisha ya umasikini, vituo vya afya viko mbali sana. Kassim mwalimu adinasi ameandaa makala maalum kutoka migori.

Tags:

cancer Migori cervical cancert

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories