Kibaki alazwa hospitali ya Karen asubuhi

afrika kusini kwa matibabu maalum, baada ya kukimbizwa hospitalini jana usiku alipougua kwa dharura.

Mzee kibaki ameandamana na jamaa zake wa karibu, akiwemo mwanawe judy wanjiku, baada ya kulazwa katika hospitali ya karen.

Rais uhuru kenyatta alimtembelea mtangulizi wake hospitalini, hata ingawa taarifa za ugonjwa wake zinasalia finyu.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories