Kijiji hakina mawimbi ya simu Turkana
Published on: August 31, 2017 09:18 (EAT)
Eneo la mpaka wa nchi nne ambazo ni Kenya, Uganda, Sudan Kusini na Ethiopia taswira ya maendeleo ni ya kusikitisha. Na kama anavyoarifu mwanahabari wetu Cheboit Emmanuel, licha ya kuwa katika karne ya ishirini na moja wakaazi wa Oropoi na Nawontos bado wanataembea kilomita sita hadi saba kila siku kutafuta mawimbi thabiti ya kupiga simu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment