Kiwanda ghushi chalipuka Eastleigh

Kizaazaa kimezuka mtaani Eastleigh hapa jijini Nairobi baada ya kiwanda kinachotengeneza sabuni katika eneo la 9 street kulipuka ghafla jioni ya leo. Hakuna yeyote aliyefariki katika kisa hicho.

Tags:

Eastleigh

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories