Kongamano la sekta ya afya lafanyika Ikulu
Published on: September 13, 2016 10:28 (EAT)
Washikadau katika sekta ya afya hii leo walijipata taabani walipotakiwa kuelezea hatua waliopiga katika sekta hiyo ambayo ina jukumu la kuwapa Wakenya huduma bora za afya. Lakini washikadau hao walipata fursa ya kujitetea hata hivyo na kusema kwamba mipango yao imo sambamba na ahadi yao ya kuwasaidia wagonjwa nchini hasa wale wanaougua saratani.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment