KRA yapoteza shilingi bilioni 4

Mwanaume mmoja amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kujihusisha na wizi kupitia mtandao uliopelekea kupotea kwa shilingi bilioni nne kutoka kwa mamlaka ya ushuru humu nchini, KRA. Mshukiwa hata hivyo alikana madai hayo. Mwanahabari wetu denis otieno atufungulia jamvi la nipashe kwa leo.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories