Kuanzia Agosti 28 itakua hatia kutumia mifuko ya plastiki

Serikali kupitia wizara ya mazingira imeshikilia kuwa marufuku ya utumizi wa karatasi za plastiki humu nchini lazima ifanyike. Haya yanajiri zikisalia siku chache tu kabla ya tarehe 28 mwezi Agosti iliyotajwa kama tarehe ya kutekeleza marufuku hiyo huku halmashauri ya watengenezaji bidhaa ikielekea mahakamani kupinga marufuku hiyo.

Tags:

NEMA plastic bags Judy Wakhungu ministry of enviroment

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories