Lee Kinyanjui atwaa tiketi ya Jubilee kuwania ugavana Nakuru
Published on: April 28, 2017 07:58 (EAT)
Gavana Kinuthia Mbugua wa Nakuru ametupiliwa mbali kwenye uteuzi wa Jubilee, ambapo ushindi ulimwendea Lee Kinyanjui. Hata hivyo gavana Mbugua amelalamika kuhusu matokeo hayo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment