Maandamano yafanyika Busia kulaani mashambulizi ya walinzi
Published on: October 10, 2016 09:11 (EAT)
Bawabu mmoja amefariki huku wengine wanne wakisalia na majereha mabaya baada ya watu wasiojulikana kuwavamia jana usiku nje ya maduka katika mji wa malaba. Mapema taharuki ilitanda katika mji huo baada ya wenyeji kufanya maandamano kufuatia tukio hilo na kulaumu maafisa wa usalama kwa kukosa kukabiliana na visa vya uhalifu ambavyo vimekuwa vikishuhudia hivi karibuni
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment